TANZANIA YAENDELEA KUSHIKA NAFASI YA 10 BORA KWENYE UTALII BARA LA AFRIKA

NA MWANDISHI WETU, WINDHOEK, NAMIBIA. TANZANIA imeendelea kung’ara ndani ya Bara la Afrika kwa kutangaza vyema vivutio vyake vya Utalii ambapo imeweza kuwa miongoni mwa nchi  10 bora kwa mwaka wa tatu mfululizo, kuanzia 2017 hadi  2020.Ripoti hiyo imetolewa mapema leo  kwenye mkutano wa Kimataifa wa Utalii wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na Shirika la